Monday, November 5, 2012

Magufuli: JK zididisha safari za nje baba

“Wapo wanaosema wewe Rais unatembea sana nje ya nchi, lakini bila kutembea kwako tusingepata maendeleo tunayopata, hivyo tunakuomba uendelee kutembea ili tuendelee kupata maendeleo zaidi,” alisema Dk Magufuli.

No comments:

Post a Comment