Friday, November 28, 2014

JE? HII INAWEZA KUWA TAFSIRI YA ESCROW?





ESCROW kila kona! Wabongo wameibuka na msemo mpya kuhusu sakata la uchotwaji wa fedha za umma kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow iliyofunguliwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), wakilitolea tafsiri iliyobeba kichwa cha habari hii kwamba Escrow ni Eneza Siasa Chota Riziki Ondoa Woga.

Monday, November 24, 2014

MDAHALO KUHUSIANA NA KATIBA MPYA KUUNGURUMA MLIMANI CITY 25/11/2014 KUANZIA SAA NANE MCHANA


Bunge kujadili Escrow kwa siku mbili

 Suala la muda mdogo wa kuwasilisha na kujadiliwa kwa ripoti hiyo bungeni umelalamikiwa na baadhi ya wabunge ambapo James Mbatia na Livingstone Lusinde walikitaka kiti cha Spika kutoa muda wa wiki nzima kujadili sakata hilo ili wamalizane nalo.
Ripoti ya sakata la ufisadi katika Akaunti ya Tegeta Escrow sasa itajadiliwa kwa siku mbili bungeni baada ya kikao cha Kamati ya Uongozi ya Bunge kukubaliana kuongeza muda tofauti na ule wa awali ambao ulikuwa ni siku moja.
Ripoti hiyo ambayo inapitiwa na Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), awali ilitakiwa kuwasilishwa bungeni tarehe 27 wiki ijayo na kujadiliwa siku hiyo hiyo.
Baadhi ya wenyeviti wa kamati mbalimbali za Bunge ambao ni wajumbe wa Kamati ya Uongozi walisema kuwa wamejadiliana na kukubaliana kuwa muda uongezwe kwani siku moja haitoshi.
Suala la muda mdogo wa kuwasilisha na kujadiliwa kwa ripoti hiyo bungeni umelalamikiwa na baadhi ya wabunge ambapo James Mbatia na Livingstone Lusinde walikitaka kiti cha Spika kutoa muda wa wiki nzima kujadili sakata hilo ili wamalizane nalo.
Mkurugenzi wa Shughuli za Bunge, John Joel jana baada ya kikao cha Kamati ya Uongozi alisema ni kweli wamekubaliana mjadala huo upewe siku mbili hivyo wanaangalia jambo gani watakaloweza kulitoa kwenye ratiba ili siku hizo zipatikane.
“Wenyeviti walitoa hoja ya kutaka muda uongezwe hivyo tumekubaliana itakuwa siku mbili. Tunaangalia kitu gani kitakachotoka kwenye ratiba ili tuweze kupata hizo siku mbili,” alisema Joel na kuongeza: “Huenda ikawa kati ya Jumatano au Alhamisi wiki ijayo.”

Alisema ratiba mpya itatoka kesho (leo) kwa kuwa kuna mambo kama azimio la usalama ambayo hayawezi kuachwa kwa kuwa Tanzania imekuwa ikilaumiwa na nchi za Afrika Mashariki kuwa imechelewa kuridhia.

Sunday, November 23, 2014

KESI YA YULE MSICHANA WA KAZI ZA NDANI ALIEMTESA MTOTO KUSIKILIZWA DESEMBA 8

Maid captured on video torturing baby to appear in court on December 8n the video, which went viral on Facebook, Jolly Tumuhirwe, a 22-year-old housemaid in Naalya in Kiwatule suburb, appears to be battering the baby with a hard object on the face. When the child starts vomiting, the video shows the maid throwing her heartlessly on the floor of the living room. She then beats her with a hard object before standing on the baby’s back several times and the toddler groaned in pain on the floor
KAMPALA: The Maid that was captured appearing to be torturing a toddler in a video is set to appear in court for a second hearing on December 8.
The video that went viral on social media on Friday depicting a maid torturing a two-year-old toddler has sparked mass outrage.
In the video, which went viral on Facebook, Jolly Tumuhirwe, a 22-year-old housemaid in Naalya in Kiwatule suburb, appears to be battering the baby with a hard object on the face. When the child starts vomiting, the video shows the maid throwing her heartlessly on the floor of the living room. She then beats her with a hard object before standing on the baby’s back several times and the toddler groaned in pain on the floor.
Police said the motive of the assault had not yet been established but added that Tumuhirwe had worked for the couple’s home for only 26 days. The parents said the baby had been discharged from hospital and was improving.
“We took her to the hospital for medical checkup and she is ok. We will be returning to the hospital next week,” the girl’s mother only identified as Angela said by telephone yesterday.
Suspect remandedAccording to the police spokesperson Fred Enanga, the case was reported by the girl’s father Eric Kamanzi on November 13 at Kiwatule Police Post after he had viewed the footage of CCTV camera installed in the house.
The matter was transferred to Kiira Police Division. After the investigations, the maid was charged with torture in Nakawa Magistrate’s Court on Thursday and remanded to Luzira prison.
Mr Enanga said Ms Tumuhirwe was charged under Section 3 of the Anti-Torture Act. The section stipulates several offences including “systematic beating, all of which attract a maximum penalty of 15 years in jail on conviction. However, Enanga said the police had sought advice of the Director of Public Prosecutions to amend the charge to attempted murder which attracts up to a maximum sentence of life imprisonment on conviction.
Ms Tumuhirwe will re-appear in court on December 8.


Read more http://www.monitor.co.ug/News/National/Maid-captured-on-video-torturing-baby-to-appear-in-court/-/688334/2531920/-/7bnqyz/-/index.html

Sunday, November 9, 2014

USA BLACK IN WEDDING : NATASHA AND MARVIN

Harusi nyingi zinazofungwa kwa waameika zinakuwa na watu wachache na zinakuwa hazina makuu kama za kwetu TZ ambazo zingine zinakuwa hadi na watu 1700 wenzetu wanajitahidi sana kufanya vitu vya msingi kwenye sherehe kwa msingi wa kuboresha shughuli husika.

























Saturday, November 8, 2014

Vijana kuathirika na saratani ya utumbo

Saratani ya utumbo miongoni mwa watu walio na umri chini ya mika 34 inatarijiwa kuongezeka maradufu miaka kumi na tano ijayo.
Watafiti wamesema kuwa takwimu hiyo inaibua hisia kuhusu kupambana na mojawapo ya saratani hatari duniani.
Kuongezeka kwa ugonjwa huo miongoni mwa vijana kunasababishwa na chaguo lao la kimaisha kinyume na kupungua kwa visa vya ugonjwa huo miongoni mwa watu wenye umri zaidi ya 50.
Upungufu huo umesababishwa na kuzingatia uchunguzi kwa kina.
Ongezeko la ugonjwa huo katika vijana unalinganishwa na kula vyakula visivyokuwa na madini ya kufaidi mwili na pia mienendo potofu ya kimaisha

Sitti Mtemvu ajivua taji la Miss Tanzania 2014, Lilian Kamazima amrithi!

Sitti Mtemvu 2014 kajivua taji rasmi ndani ya hoteli ya JB BELMONTE Posta - Dar es Salaam.

Mshindi namba 2, Lilian Kamazima kakabidhiwa rasmi taji hilo.
Hapo mwanzo alikua anashutumiwa Kwamba amegushi vyeti na umri ili ashide umiss ambapo ilizua mjadala mkubwa kwenye huu uzi Miss Reds Tanzania 2014 Sitti Mtemvu kazi anayo, Umri wake utata mtupu . Hata hivyo alikanusha habari hizo kwamba sio za kweli ambapo hata Hashimu Lundenga alithibitisha kwamba hajagushi umri kwenye huu uzi Lundenga: Miss Tanzania 2014 Sitti Mtemvu ni miss halali mwenye vigezo vyote.



Thursday, November 6, 2014

HATARI:POLISI WAKAMATA KONYAGI FEKI VINGUNGUTI

 Baadhi ya watuhumiwa wa Konyagi feki wakifanya kazi ya  kupakia kwenye mabox konyagi hizo ambapo walikamatwa na jeshi la polisi na kufikishwa kituo cha polisi buguruni kwa uchunguzi zaidi
 Baadhi ya watumiwa wakiwa chini ya ulinzi ambapo jana waliswekwa lumande na kulala ndani ya kituo cha polisi buguruni baada ya kukamatwa wakipack konyagi feki maeneo ya vingunguti Dar es salaam jana 
 MMOJA YA WATUHUMIWA AMBAYE ALIJITAMBULISHA KUWA YEYE NI MMILIKI WA KONYAGI FEKI AKIWA CHINI YA ULINZI BAADA YA KUKAMATWA JANA

 Baadhi ya maofisa usalama wakiangalia mzigo uliokamatwa ukipandishwa katika gari kwa ajili ya kuelekea kituo cha polisi buguruni
 Baadhi ya vibarua waliokodiwa kwa ajili ya kupakia Konyagi ili wapeleke kituo cha polisi Buguruni wakifanya kazi ya kujaza katikaq marobota ili waweke katika gari baada ya konyagi hiyo feki kukamatwa Dar es salaam jana kwenye moja ya Godawn maeneo ya vingunguti karibu na kituo cha mchicha watumiwa walikamatwa na kupelekwa polisi


KILIMO CHA UFUTA


Hivi sasa ni msimu wa kilimo Nchini Tanzania, Katika maeneo mengi sana nchini wakulima hivi sasa wanajipanga kwa kuanddaa kuanza msimu mpya wa kilimo. wengine wanalima mazao ya chakula na wengine ya biashara. kwa wale wanaolima kilimo cha ufuta kama sehemu ya zao la biashara kuna habari njema kuhusu mbegu za kilimo husika.  Siajabu kwa mkulima kuvuna magunia 15 ya ufuta yenye kilo 100 kila gunia kwa hekta. Hii inawezekana kwa kulima ufuta aina ya Lindi 02 ambayo hukomaa kati ya siku 100-110 tangu iote.Aina hii ya ufuta ina asilimia 55 ya mafuta. Hii ni habari njema kutoka kwa watafiti wa Kilimo kutoka kituo cha Utafiti Naliendele,Mtwara.