Tuesday, June 3, 2014

RATIBA YA MAZIKO YA MAREHEMU GEORGE TYSON

1. Mwili wa marehemu George Tyson utapelekwa nyumbani kwake (Mbezi Makonde jijini Dar es Salaam) kesho Jumanne Juni 3, 2014 jioni kuanzia saa kumi na mbili jioni kwa ajili ya kuaga.
 
2. Mwili utalala utalala nyumbani kwake Mbezi na kesho yake Jumatano  Juni 4, 2014 kupelekwa Viwanja vya Leaders Club kwa ajili ya kuagwa kuanzia saa nne asubuhi.
 
3. Baada ya kuagwa mwili wa marehemu utapelekwa moja kwa moja Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius Nyerere kwa ajili ya kusafirishwa kwenda Nairobi  Kenya 

No comments:

Post a Comment